HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 15, 2017

MAJALIWA AWASILISHA HOTUBA YA KUAHIRISHA BUNGE

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasilisha hotuba ya kuahirisha Bunge mjini Dodoma Septemba 15, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipongezwa na Wabunge baada ya kuwasilisha hotuba ya kuahirisha Bunge mjini Dodoma Septemba 15, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiteta na Spika wa Bunge, Job Ndugai kwenye ukumbi wa Spika baada ya kuwasilisha hotuba ya kuahirisha Bunge mjini Dodoma Septemba 15, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad