HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 27, 2017

IGP SIRRO AFANYA UKAGUZI WA KUSTUKIZA HOSPITALI YA POLISI

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akisalimiana na maafisa wa Jeshi hilo alipowasili Hospitali ya Polisi iliyopo barabara ya Kilwa, kwa lengo la kuzungumza na uongozi na kujionea namna ya utoaji wa huduma za afya kwa wateja.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro (wa pili kulia), akimjulia hali mmoja kati ya wagonjwa wanaopatiwa matibabu katika Hospitali ya Polisi iliyopo barabara ya Kilwa, alipofanya ukaguzi wa ghafla katika hospitali hiyo kwa lengo la kuzungumza na uongozi na kujionea namna ya utoaji wa huduma za afya kwa wateja.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akimsikiliza Kamanda wa Kikosi cha Afya (SACP) Paul Kasabago, alipofanya ukaguzi wa ghafla katika Hospitali ya Polisi iliyopo barabara ya Kilwa, kwa lengo la kuzungumza na uongozi na kujionea namna ya utoaji wa huduma za afya kwa wateja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad