HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 30, 2017

ELIMU SOLUTION WASAFIRISHA WANAFUNZI 50 KWENDA KUSOMA NCHINI CHINA

 Mkurugenzi wa Elimu Solution, Neithan Swed akizungumza na  waandishi kuhusu kampuni ya Elimu Solution ilivyoweza kusafirisha wanafunzi hamsini(50) kwenda kusoma nchini China kwa miaka minne kwa ufadhili leo katika uwanja wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
 Mwanadunzi anayekwenda kusoma nchini China, Osmund Mbilinyi akizungumza na waandishi wa habari leo kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere kuhusu namna alivyoweza kufanikisha kuomba ufadhili wa kusoma nchini china kuputia kampuni ya Elimu Solution.
 Mmoja wa wazazi wa wanafunzi wanaokwenda kusoma nchini China, Marysponser Nhwan akizungumza na waandishi wa habari kuhusu furaha aliyonayo baada ya mtoto wake kupata nafasi ya kwenda kusoma nchini Chini akiwa na ufadhiri kwa takribani miaka minne(4).
  Mmoja wa wazazi wa wanafunzi wanaokwenda kusoma nchini China, Saimoni Mapunda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu namna walivyoweza kuomba ufadhili wa mwanae kwenda kusoma nchini China kupitia kampuni ya Elimu Sotion leo katika uwanja wa mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanafunzi wanaokwenda kusoma China pamoja na wazao wao wakiwa kwenye picha ya pamoja kwenye uwanja wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam leo

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad