Katibu wa Benki ya CRDB na Mkurugenzi wa Maswala ya Kampuni, John
Rugambo akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni mbili
(2,000,000) kwa Wanafunzi, Kelvin James na Swaum Mohamed wa darasa la sita Shule ya
Msingi Gezaulole, Kigamboni jijini Dar es salaam ikiwa ni mchango wa
benki hiyo kusaidia ukarabati wa madarasa ya shule hiyo, leo Septemba
27, 2017.
Katibu wa Benki ya CRDB na Mkurugenzi wa Maswala ya Kampuni, John
Rugambo akizungumza kabla ya kabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni mbili
(2,000,000) kwa ajili ya kusaidia ukarabati wa madarasa ya shule hiyo, leo Septemba
27, 2017. Kulia ni Mwalimu Mkuu wa Shule
hiyo, Mariam Kinande na kushoto ni Mwenyekiti aliyemaliza muda
wake wa Kamati ya Shule ya Mshingi Gezaulole,Martin Madama.
Katibu wa Benki ya CRDB na Mkurugenzi wa Maswala ya Kampuni, John
Rugambo akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni mbili
(2,000,000) kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Shule ya Mshingi Gezaulole,
Bundala Maganga ikiwa ni mchango wa benki hiyo kusaidia ukarabati wa
madarasa ya shule
hiyo, leo Septemba 27, 2017. Wengine pichani ni Mwalimu Mkuu wa Shule
hiyo, Mariam Kinande (kulia) na kushoto ni Mwenyekiti aliyemaliza muda
wake wa Kamati ya Shule ya Mshingi Gezaulole,Martin Madama.
Katibu wa Benki ya CRDB na Mkurugenzi wa Maswala ya Kampuni, John
Rugambo akizungumza na baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Msingi Gezaulole, iliyopo Kigamboni jijini Dar es salaam.
Katibu wa Benki ya CRDB na Mkurugenzi wa Maswala ya Kampuni, John
Rugambo akiwa katika picha ya pamoja na Walimu na wanafunzi wa Shule ya Msingi Gezaulole, iliyopo Kigamboni jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment