Basi la Tashriff lililokuwa likitokea Tanga - Dar es Salaam limeteketea kwa moto mchana wa leo katika eneo la Pongwe, Tanga. Kwa mujibu wa taarifa za awali chanzo cha moto huo hakijafahamika japo hakuna mtu aliyezurika japo mizigo yote imeungua.
Kikosi cha Zima Moto na Uokoaji Mkoani Tanga wakiendelea na zoezi la uokoaji na kuzima moto kwenye basi hilo.
No comments:
Post a Comment