HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 28, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMUAGA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE CUBA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiagana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba Bi. Ana Teressa .jana Agosti 27/2017 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Havana ,baada ya kumaliza ziara ya kikazi Nchini Cuba. Katikati ni Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad