Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiagana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba Bi. Ana Teressa .jana Agosti 27/2017 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Havana ,baada ya kumaliza ziara ya kikazi Nchini Cuba. Katikati ni Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Monday, August 28, 2017
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMUAGA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE CUBA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment