HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 10, 2017

WATANZANIA WATAKIWA KUSHIRIKI MCHEZO WA KUBAHATISHA WA TATU MZUKA


Mwakilishi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Daniel Wilson akizungumza katika Mkutano wa Waandishi wa habari na Bahati nasibu ya Tatu Mzuka na kuwasii watanzania kutumia nafsi kushiriki katika mchezo huo ambao unaanzia kwa shilingi 500.
Mratibu wa Mawasiliano wa Mchezo wa Kubahatisha wa Tatu Mzuka Sebastian Maganga, akizungumza hadi shilingi  na Waandishi  juu faida za mchezo huo na namna ya kucheza na kufanikiwa kupata Milioni 30.
Balozi wa Mchezo wa kubahatisha wa Tatu Mzuka,  Mc Ray Maharufu kama Chikunde  akizungumza juu ya yeye kuhusishwa na kampuni inayoendesha mchezo huo wa Tatu Mzuka.
Waandishi wa habari walioshiriki katika Mkutano huo na Waandishi wa habari na Kampuni ya mchezo wa Kubahatisha wa Tatu Mzuka.
Kiongozi kutoka Mchezo wa Kubahatisha wa Tatu Mzuka, Mudy B akizungumza na Waandishi wa habari namna ya kushiriki kupitia simu zetu za Mkononi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad