.Mafundi wakijenga uzio katika kituo cha mabasi yaendayo haraka cha Morocco leo jijini Dar es Salaam ili abiria watumie daraja hilo kuingia na kutoka katika kituo hicho.
Mafundi wa wakiendelea na ujezi wa uzio katika kituo cha mabasi yaendayo haraka cha Morocco leo jijini Dar es Salaam.
Muonekano wa kituo cha mabasi yaendayo haraka cha Morocco leo jijini Dar es Salaam.picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.
No comments:
Post a Comment