HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 23, 2017

Tigo yakabidhi kisima cha maji kwa Wananchi wa Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo, Tabora


Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry akifungua pazia kuashiria uzinduzi rasmi kisima cha maji kilichotolewa Msaada na Kampuni ya simu za Mkononi nchini Tigo katika Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo mkoani Tabora. Kisima hicho kimegharimu zaidi ya shilingi milioni 18.
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry akipampu maji katika kisima cha maji kilichotolewa Msaada na Kampuni ya simu za Mkononi nchini Tigo katika Kijiji cha Usongelani wilayani Urambo mkoani Tabora,Kisima hicho kimegharimu zaidi ya shilingi milioni 18. 
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry akimtwisha ndoo ya maji mmoja kati ya wananchi wa kijiji cha Usongelani ikiwa ni ishara ya kuzindua kisima hicho kilichotolewa msaada na kampuni ya Tigo ambapo kitahudumia wakaazi wa Kijiji cha usongelani na maeneo jirani ikiwa ni hatua muhimu kwa kampuni ya Tigo kurejesha kiasi cha faida kwa wananchi. 

Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanry (wa pili kushoto walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya simu ya Tigo pamoja na watendaji wa Mkoa huo, baada ya uzinduzi wa kisima kilichotolewa msaada na Tigo wakati wa hafla fupi ya kukabidhi kisima hicho kwa wakaazi wa kijiji cha Usongelani kilichogharimu zaidi ya shilingi milioni 18.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad