HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 25, 2017

TAZAMA HAPA MASTAA WA MUZIKI NA FILAMU NCHINI WALIVYOCHIZIKA NA MECHI YA SIMBA NA YANGA

 Msanii wa filamu anyekuja kwa kasi nchini Gabo Zigamba akifatilia kwa makini mchezo wa Watani Simba na Yanga huku yeye akiwa katika upande wa timu anayoikubali Simba
 Msanii wa Michezo ya kuigiza kutoka Tamthilia ya Rangi ya Chungwa Ndende akiwa amezubaa mbele ya Mashabiki wenzie wa timu ya Simba wakati mchezo ukiendelea
 Mzee wa kuoga maji ambaye amejipatia umaharufu kupitia Mashindano ya Ndondo Cup akiwa katika Jukwaa la Simba
 Mwanamuziki wa wa Muziki wa Bong Fleva Hamisi Mwijuma (Mwana FA) Akiwa amesimama kushuhudia mikwaju ya penati inavyopigwa Vizuri
 Msanii wa Vichekesho Haji Mboto na Mau Fundi wakiwa katika jukwaa la Yanga wakiangalia mpira kwa staili ya aina yake
 Salama yanga kama kawaida yake akiwa amejipaka rangi mwili mzima kukoleza mbwembwe za ushabiki wake
 Mashabiki wa Yanga wakiwa  katika staili ya aina yake ya kubeba ungo
 Shabiki wa Yanga akiwa amevaa chupi kubw ainayosema Bosi anauniwi  katika mchezo huo wa watani
 Msanii wa filamu nchini, Jacob Stephene akiwa katikati ya Mashabiki wa Simba
Gabo akishangaa mara baada ya mikwaju ya penati kumalizika 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad