Msanii wa filamu anyekuja kwa kasi nchini Gabo Zigamba akifatilia kwa makini mchezo wa Watani Simba na Yanga huku yeye akiwa katika upande wa timu anayoikubali Simba
Msanii wa Michezo ya kuigiza kutoka Tamthilia ya Rangi ya Chungwa Ndende akiwa amezubaa mbele ya Mashabiki wenzie wa timu ya Simba wakati mchezo ukiendelea
Mzee wa kuoga maji ambaye amejipatia umaharufu kupitia Mashindano ya Ndondo Cup akiwa katika Jukwaa la Simba
Mwanamuziki wa wa Muziki wa Bong Fleva Hamisi Mwijuma (Mwana FA) Akiwa amesimama kushuhudia mikwaju ya penati inavyopigwa Vizuri
Msanii wa Vichekesho Haji Mboto na Mau Fundi wakiwa katika jukwaa la Yanga wakiangalia mpira kwa staili ya aina yake
Salama yanga kama kawaida yake akiwa amejipaka rangi mwili mzima kukoleza mbwembwe za ushabiki wake
Mashabiki wa Yanga wakiwa katika staili ya aina yake ya kubeba ungo
Shabiki wa Yanga akiwa amevaa chupi kubw ainayosema Bosi anauniwi katika mchezo huo wa watani
Msanii wa filamu nchini, Jacob Stephene akiwa katikati ya Mashabiki wa Simba
Gabo akishangaa mara baada ya mikwaju ya penati kumalizika
Msanii wa Michezo ya kuigiza kutoka Tamthilia ya Rangi ya Chungwa Ndende akiwa amezubaa mbele ya Mashabiki wenzie wa timu ya Simba wakati mchezo ukiendelea
Mzee wa kuoga maji ambaye amejipatia umaharufu kupitia Mashindano ya Ndondo Cup akiwa katika Jukwaa la Simba
Mwanamuziki wa wa Muziki wa Bong Fleva Hamisi Mwijuma (Mwana FA) Akiwa amesimama kushuhudia mikwaju ya penati inavyopigwa Vizuri
Msanii wa Vichekesho Haji Mboto na Mau Fundi wakiwa katika jukwaa la Yanga wakiangalia mpira kwa staili ya aina yake
Salama yanga kama kawaida yake akiwa amejipaka rangi mwili mzima kukoleza mbwembwe za ushabiki wake
Mashabiki wa Yanga wakiwa katika staili ya aina yake ya kubeba ungo
Shabiki wa Yanga akiwa amevaa chupi kubw ainayosema Bosi anauniwi katika mchezo huo wa watani
Msanii wa filamu nchini, Jacob Stephene akiwa katikati ya Mashabiki wa Simba
Gabo akishangaa mara baada ya mikwaju ya penati kumalizika
No comments:
Post a Comment