HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 29, 2017

SIDO DODOMA NA TSFR YA UINGEREZA ZATOA MSAADA WA ZANA ZA UFUNDI KWA WAJASILIAMALI WA WILAYA YA BAHI

Mkuu wa Wilaya ya Bahi Elizabert Kitundu akimkabidhi Cheti Jafetty Maganigani baada ya kushiriki mafunzo ya ujasiliamali na kutumia Zana za ufundi zilizotolewa msaada na Shirika la kusaidia viwanda vidovidogo SIDO Mkoa wa Dodoma na TSFR ya Uingereza.
Mkuu wa Wilaya ya Bahi Elizabert Kitundu akizungumza kwenye mafunzo ya ujasiriamali na kutumia Zana za ufundi zilizotolewa msaada na Shirika la kusaidia viwanda vidovidogo SIDO Mkoa wa Dodoma na TSFR ya Uingereza.
 
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashari ya Wilaya ya Bahi Davis Komba akifafanua Jambo wakati alipokuwa akizungumza na vikundi vya wajasiriamali kabla ya SIDO kuwapa misaada ya nyezo za ufundi, wengine ni Mkuu wa Wilaya hiyo Elizabart Kitundu, Kaimu Meneja SIDO Mkoa wa Dodoma na Afsa Ufundi wa Shirika hilo Nyangusi Meitalami 
Mkuu wa Wilaya ya Bahi akikabidhi msaada wa Cherehani ya Kudalizia kwa wajasiriamali wa moja ya vikundi Vilivyoshiriki Mafunzo yaliyotolewa na SIDO Mkoa wa Dodoma ambapo Zana hizo za ufundi zimefadhiliwa na TSFR ya Uingereza.
Afsa Ufundi wa Shirika la kusaidia Viwanda Vidogo Vidogo (SIDO) Mkoa wa Dodoma Nyangusi Meitalami akiwaonyesha Baadhi ya Viongozi wa Wilaya ya Bahi na Wajasiriamali Zana ya kitobolea matundu kwenye uchongaji, Zana Hizo zenye Thamani ya Milion 20 zimetolewa na TSFR ya Uingereza kwa Vikundi 20 vya wajasiriamali wa Wilaya ya Bahi.
Picha ya Pamoja

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad