Katibu Mkuu wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa,Serikali za
Mitaa,Idara Maalum za SMZ Nd,Radhia Rashid Haroub alipokuwa akitoa
maelezo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein (hayupo pichani ) alipofika kutembelea Ujenzi wa barabara
ya Kwamata -Kinuni mpaka Kijito upele leo inayojengwa na Mkandarasi wa
kampuni ya Mecco,Rais akiwa katika ziara yake ya kutembelea maendeleo ya
Miradi ya maendeleo Wilaya ya Magharibi"B" katika Mkoa wa Mjini
Magharibi.
Baadhi ya Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wa Kinuni na
Magogoni wakiwa katika shamra shamra wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani )
alipofika kutembelea Ujenzi wa barabara ya Kwamata -Kinuni mpaka Kijito
upele leo inayojengwa na Mkandarasi wa kampuni ya Mecco,Rais akiwa
katika ziara yake ya kutembelea maendeleo ya Miradi ya maendeleo Wilaya
ya Magharibi"B" katika Mkoa wa Mjini Magharibi.
Baadhi ya Wananchi wa Kinuni na Magogoni wakiwa katika shamra shamra
wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein (hayupo pichani ) alipofika kutembelea Ujenzi wa barabara
ya Kwamata -Kinuni mpaka Kijito upele leo inayojengwa na Mkandarasi wa
kampuni ya Mecco,Rais akiwa katika ziara yake ya kutembelea maendeleo ya
Miradi ya maendeleo Wilaya ya Magharibi"B" katika Mkoa wa Mjini
Magharibi.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(katikati) alipokuwa akizungumza na Wananchi na Wanachama wa Chama cha
Mapinduzi CCM wa Kinuni na Magogoni leo alipofanya ziara ya kutembelea
Ujenzi wa barabara ya Kwamata -Kinuni mpaka Kijito upele inayojengwa na
Mkandarasi wa kampuni ya Mecco, katika ziara yake ya kutembelea
maendeleo ya Miradi ya maendeleo Wilaya ya Magharibi"B" katika Mkoa wa
Mjini Magharibi,(kulia) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa
Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZMhe.Haji Omar Kheir na Mkuu wa
Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Ayoub Mohamed Mahmoud,
[Picha na Ikulu.] 21/08/2017.
No comments:
Post a Comment