Mke wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Nelson Mandela, Mama Graca Marshel akipiga makofi mbele ya Wanawake waliofanikiwa kiuchumi ambao wameandikwa katika kitabu cha wanawake Afrika kuashiria uzinduzi wa Kitabu hicho katika Mkutano wa Advance Women Africa
Mwandishi wa Kitabu cha Wanawake waliofanukiwa kiuchumi Afrika, Lisa O'Donoghue akifanya marejeo ya kitabu hicho kabla ya kuzinduliwa
Mwandishi wa Habari kutoka Tanzania akitoa maelezo mafupi ya Miasha na Mtoto wake, Ester Karin.
wanawake Mashuhuri nchini wakiwa katika mkutano huo wakijadili jambo kabla ya uzinduzi wa kitabu
Mke wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Nelson Mandela, Mama Graca Marshel, akiteta na Wanawake wajasiliamali nchini ambao wameshiriki Mkutano wa Women Advance Afrika
Sehemu ya Washiriki wa Mkutano huo wakifatilia kwa makini.
Mwandishi wa Kitabu cha Wanawake waliofanukiwa kiuchumi Afrika, Lisa O'Donoghue akifanya marejeo ya kitabu hicho kabla ya kuzinduliwa
Mwandishi wa Habari kutoka Tanzania akitoa maelezo mafupi ya Miasha na Mtoto wake, Ester Karin.
wanawake Mashuhuri nchini wakiwa katika mkutano huo wakijadili jambo kabla ya uzinduzi wa kitabu
Mke wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Nelson Mandela, Mama Graca Marshel, akiteta na Wanawake wajasiliamali nchini ambao wameshiriki Mkutano wa Women Advance Afrika
Sehemu ya Washiriki wa Mkutano huo wakifatilia kwa makini.
Sehemu ya Washiriki wa Mkutano huo wakifatilia kwa makini
No comments:
Post a Comment