HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 11, 2017

MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA USAJILI MUHIMU WA MATUKIO YA BINADAMU KWA NJIA YA TEHAMA

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na katika ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa ngazi ya Mkoa na Wilaya katika ukumbi wa Arnautoglou jijini Dar es Salaam.
 Kaimu Afisa Mtendaji  Mkuu (RITA) Emmy Hudson akizungumza na waandishi  wa habari katika mkutano wa viongozi wa gazi ya Mkoa na Wilaya kuhusu usajili wa matukio muhimu ya Binadamu na kutambulisha majaribio ya mfumo wa Tehama katika ukumbi wa Arnautoglou, jijini Dar es Dalaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa ngazi ya Mkoa na Wilaya leo jijini Dar es Salaam. Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad