HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 4, 2017

MAHOJIANO NA MUBELWA BANDIO NA MADUHU EMMANUEL NDANI YA KILIMANJARO STUDIOS

Emmanuel Maduhu ni mtangazaji wa Morning Star Radio na Televisheni jijini Dar Es Salaam .
Mwezi Julai 2017 alifanya ziara ya kikazi nchini Marekani, ambapo alitembelea majimbo kadhaa.
Mwishoni mwa ziara yake, alipata fursa kuketi na Mubelwa Bandio wa Kwanza Production ndani ya Kilimanjaro Studios na kujadili mambo mbalimbali kuhusu kazi, ziara, maisha nk. Karibu ujiunge nasi.
  

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad