HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 28, 2017

KAMPUNI GUILIN PHARMACEUTICALS TANZANIA LIMITED YAZINDU TAWI HAPA NCHINI KWAAJILI YA KUTENGENEZA NA KUSAMBAZA DAWA ZA KUKABILIANA NA UGONJWA WA MALARIA.

 Katibu Mkuu wa wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya (wa kwanza kushoto) akizungumza waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uzinduzi wa tawi la kampuni mpya ya kimataifa toka nchini China iitwayo Guilin Pharmaceuticals Tanzania Limited itakayotengeneza na kusambaza dawa za kukabiliana na ugonjwa wa Malaria kali iitwayo Artesun nchini Tanzania. (wa pili kulia ni Mwakilishi Mkuu wa China kwenye masuala ya uchumi na biashara nchini Tanzania (wa pili kushoto) Makamu mkuu wa Rais wa kampuni ya Guilin Pharmaceutical Tanzania Lily Su (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Ashok Pandey.
 Katibu Mkuu wa wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Mpoki Ulisubisya akipitia baadhi ya nakara za karatasi zilipewa katika uzinduzi wa uzinduzi wa tawi la kampuni mpya ya kimataifa toka nchini China iitwayo Guilin Pharmaceuticals Tanzania Limited itakayotengeneza na kusambaza dawa za kukabiliana na ugonjwa wa Malaria kali iitwayo Artesun nchini Tanzania.
Katibu Mkuu wa wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Mpoki Ulisubisya (wa kwanza kushoto) akiwa katika picha ya pamoja  mara baada ya uzinduzi wa tawi la kampuni mpya ya kimataifa toka nchini China iitwayo Guilin Pharmaceuticals Tanzania Limited itakayotengeneza na kusambaza dawa za kukabiliana na ugonjwa wa Malaria kali iitwayo Artesun nchini Tanzania. (Wa pili kulia ni Mwakilishi Mkuu wa China kwenye masuala ya uchumi na biashara nchini Tanzania (wa pili kushoto) Makamu mkuu wa Rais wa kampuni ya Guilin Pharmaceutical Tanzania Lily Su (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Ashok Pandey.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad