Meneja Uhusiano wa DAWASCO, Everlasting Lyaro akitoa elimu juu ya matumizi ya mfumo wa DAWASCO kwa kwa njia ya simu kwa watumiaji wa vyombo vya Moto hususani Bajaj na Pikipiki katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam. Mfumo huo umezinduliwa rasmi jana ili kutoa nafasi kwa wananchi kupata na kutoa taarifa sahihi za dawasco.
Thursday, August 10, 2017

DAWASCO App yaingia mtaani
Tags
# HABARI
# HABARI MCHANGANYIKO
HABARI MCHANGANYIKO
Labels:
HABARI,
HABARI MCHANGANYIKO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment