HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 21, 2017

BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA VITU MBALIMBALI GEREZA LA SEGEREA JIJINI DAR.


 Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB,Tully Mwambapa wapili kushoto akiwa katika pichaya pamoja na mkuu wa gereza la Segerea, Kamishna Msaidizi wa magereza, Godfrey Kavishe mbele ikiwa ni moja ya vitu vyenye thamani ya milioni nane (8,000,000) vilivyotolewa  na benki ya CRDB kwa wafungwa wanawake na watoto wa gereza hilo.Katikati ni Mkaguzi msidizi wa magereza, Esther Mpotola, Mrakibu wa Magereza, Adeline Mgamtwa na Meneja Uhusiano wa Wawekezaji wa Benki hiyo, Hilda Rwanshane.
 Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB,Tully Mwambapa wapili kushoto akikabidhi  boksi la maziwa ya unga na baadhi ya vitu vya michezo ya watoto  kwa mkuu wa gereza la Segerea Kamishna Msaidizi wa magereza Godfrey Kavishe kulia ikiwa ni moja ya vitu vyenye thamani ya milioni nane (8,000,000) vilivyotolewa kwa wafungwa wanawake na watoto wa gereza hilo na wafanyakazi wanawake wa benki hiyo. Katikati ni Mkaguzi msidizi wa magereza, Esther Mpotola, Mrakibu wa Magereza, Adeline Mgamtwa na Meneja Uhusiano wa Wawekezaji wa Benki hiyo, Hilda Rwanshane.
 Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB,Tully Mwambapa wapili kushoto akikabidhi, Mashine za dawa ya kuulia wadudu  kwa mkuu wa gereza la Segerea, Kamishna Msaidizi wa magereza, Godfrey Kavishe kulia ikiwa ni moja ya vitu vyenye thamani ya milioni nane (8,000,000) vilivyotolewa kwa wafungwa wanawake na watoto wa gereza hilo na wafanyakazi wanawake wa benki hiyo. Katikati ni Mkaguzi msidizi wa magereza, Esther Mpotola, Mrakibu wa Magereza, Adeline Mgamtwa na Meneja Uhusiano wa Wawekezaji wa Benki hiyo, Hilda Rwanshane.
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB,Tully Mwambapa wapili kushoto akikabidhi, khanga ambazo kwaajili ya kinamama na watoto waliopo gerezani  kwa mkuu wa gereza la Segerea, Kamishna Msaidizi wa magereza, Godfrey Kavishe kulia ikiwa ni moja ya vitu vyenye thamani ya milioni nane (8,000,000) vilivyotolewa kwa wafungwa wanawake na watoto wa gereza hilo na wafanyakazi wanawake wa benki hiyo. Katikati ni Mkaguzi msidizi wa magereza, Esther Mpotola, Mrakibu wa Magereza, Adeline Mgamtwa na Meneja Uhusiano wa Wawekezaji wa Benki hiyo, Hilda Rwanshane.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad