HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 10, 2017

WANANCHI WAHAMASISHWA KUFANYA KAZI KWA AJILI YA MAENDELEO

 Mkazi wa kijiji cha Mwande kata ya Mateteleka halmashauri ya wilaya ya Madaba,mkoani Ruvuma Thobias Ngulungula akitoa malalamiko yake ya ahadi ya Rais Dkt John Magufuri ya kutoa shilingi milioni 50 kwa kijiji mbele ya mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Madaba Shafi Mpenda(hayupo pichani)wakati wa mkutano wa hadhara kijijini hapo jana. ambapo ameiomba serikali kuharakisha ukutekeleza ahadi hiyo ili iwasaidie wananchi kuanzisha vikundi vya kiuchumi katika vijiji vyao.
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Madaba, mkoani Ruvuma Shafi Mpenda akizungumza jana  na wakazi wa kijiji cha Mwande kataya Mateteleka wilayani Songea katika mkutano wa hadhara uliolenga kuhamasisha kazi za maendeleo kijijini hapo baada ya serikali kuanzisha kijiji hicho kwa  lengo la kusogeza huduma mbalimbali za kijamii karibu na wananchi wa kijiji hicho.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad