HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 25, 2017

TIMU YA TANZANIA YASHIRIKI MASHINDANO YA ROBOTI NCHINI MAREKANI

Tarehe 16-18 Julai, 2017 Tanzania iliwakilishwa na Timu ya wanafunzi saba katika Mashindano ya Ubunifu yajulikayao kama First Global Robotic Challenge yaliyofanyika jijini Washington D.C



Timu hiyo iliongozwa na wakufunzi wawili, Bi. Mkufu Shaban Tindi na Bi. Carolyne Eryarisiima.




Tarehe 19 Julai, 2017 Timu hiyo ilitembelea Ofisi za Ubalozi wa Tanzaniani Washington, DC nchini Marekani kwa ajili ya kusalimia na kujitambulisha.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad