HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 31, 2017

RAIS DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI BODI SHIRILA LA MELI,BANDARI NA MAMLAKA YA USAFIRI BAHARIN

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji pamoja na Uongozi wa Bodi ya Wakurugenzi  wa Mamlaka ya Usafirishaji Baharini na Uongozi wa Mamlaka ya Usafirishaji  Baharini katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji pamoja na Uongozi wa Bodi ya Wakurugenzi  ya Shirika la Meli na Uongozi wa Shirika la Meli Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo.
 Baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi  ya Shirika la Meli na Uongozi wa Shirika la Meli Zanziba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji pamoja na Bodi hiyo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo (Picha na Ikulu).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad