HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, July 15, 2017

NAIBU WAZIRI NISHATI DKT MEDARD KALEMANI AZINDUA MRADI WA REA MKOA WA SIMIYU

 Naibu waziri wa Nishati na Madini Dkt Medard Kalemani akizindua mradi wa Umeme vijijini REA jana Nangale wilaya ya Itilima mkoani Simiyu akiwa ameambatana na viongozi wa mkoa huo.
 Naibu waziri wa Nishati na Madini Dkt Medard Kalemani akiwasalimia wabunge wa mkoa wa Simiyu wakati wa uzinduzi mradi wa Umeme vijijini REA jana.

 Wabunge  mkoa wa Simiyu  wakicheza na Naibu waziri wa Nishati na Madini Dkt Medard Kalemani wakati wa uzinduzi mradi wa Umeme vijijini REA jana  ikiwa ni katika kuhakikisha umeme unapatikana nchi nzima na kwa bei nafuu.
 Mbunge wa Itilima Njalu Silanga akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi wa Umeme vijijini (REA) jana Katika kijiji cha Nangale wilayani Itilima katika mkoa wa Simiyu  ikiwa ni katika kuhakikisha umeme unapatikana nchi nzima na kwa bei nafuu..
  Wananchi  wakiwa wanafuatilia uzinduzi wa mradi wa Umeme vijijini REA jana wakati ulipozinduliwa na Naibu waziri wa Nishati na Madini Dkt Medard Kalemani ikiwa ni katika kuhakikisha umeme unapatikana nchi nzima na kwa bei nafuu.

Picha ya pamoja ya wabunge na viongozi wa Mkoa wa Simiyu na Naibu waziri wa Nishati na Madini Dkt Medard Kalemani wakati wa uzinduzi wa mradi wa umeme wa vijijini REA jana. .Kushoto ni Mkuu wa Mkoa huo Anthony Mtaka na Kulia ni wabunge Esther Midimu (Viti maalum),Mashimba Ndaki Maswa Magharibi na Njalu Silanga wa Itilima  ikiwa  ni muendelezo wa kuhakikisha umeme unapatikana nchi nzima na kwa bei nafuu. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad