HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 11, 2017

MAMA MERY MAJALIWA ATAKA WAZAZI KUWASOMESHA KWA BIDII WATOTO WAKIKE Inbox x

Mke wa Waziri Mkuu  Mery  Majaliwa  ametoa Wito kwa Wazizi kupeleka  Watoto wa Kikeke  Shule  ametoa  wito huo katika  mkutano wa hadhara  Uliofanyika  Kiwanja cha  Michezo wilaya ya Liwale July 10, 2017 ,Mama majaliwa  ameongozana na Waziri Mkuu Kassim  Majaliwa  katika ziara ya kikazi  ya siku Nne  Mkoani   Lindi.

Waziri Mkuu  Kassim Majaliwa  akiangalia Dawa zilizopo katika Stoo ya Dawa Hospital ya  Wilaya ya Liwale July 10, 2017 ,kushoto  kwa  Waziri  Mkuu  ni  Mbunge  wa Wilaya ya Ruangwa(CUF)   Zuberi  Kichauka  na  kulia ni  Mganga Mkuu wa Wilaya ya Lindi Dr Maulid Majala, Waziri Mkuu Kassim  Majaliwa  yupo  katika ziara ya kikazi  ya siku Nne  Mkoani Lindi


Pcha na Ofisi ya Waziri Mkuu
  

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad