HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 4, 2017

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA KWANZA RAIS WA SUDAN YA KUSINI MHE. JENERALI TABAN DENG GAI


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza Rais wa Sudan ya Kusini Mhe. Jenerali Taban Deng Gai ambapo mazungumzo yao yalihusu kuendelea kudumisha mahusiano baina ya nchi hizi mbili. Mazungumzo hayo yamefanyika wakati mkutano wa 29 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika ukiendelea, jijini Addis Ababa, Ethiopia. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad