HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 12, 2017

MAKAMU WA RAIS APOKEA UJUMBE MAALUM WA WAZIRI MKUU WA LESOTHO KWA NIABA YA RAIS MAGUFULI

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akizungumza na Waziri  wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa wa nchi ya Lesotho Mhe. Lesogo Makgothi (kushoto) ambaye alifika ofisini kwa Makamu wa Rais kuwasilisha Ujumbe Maalum wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo ambapo Makamu wa Rais aliupokea kwa niaba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais-Ikulu, Dar Es Salaam)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akimsikiliza Waziri  wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa wa nchi ya Lesotho Mhe. Lesogo Makgothi (kushoto) ambaye alifika ofisini kwa Makamu wa Rais kuwasilisha Ujumbe Maalum wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo ambapo Makamu wa Rais aliupokea kwa niaba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais-Ikulu, Dar Es Salaam)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akipokea Ujumbe Maalumu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kutoka kwa Waziri Mkuu wa nchi ya Lesotho na kukabidhiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa wa nchi ya Lesotho Mhe. Lesogo Makgothi (kushoto) ofisini kwake, Ikulu jijini Dar es Salaam.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais-Ikulu, Dar Es Salaam)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad