Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (Kushoto) akiwa ameongozana na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu Pinda walipo mpokea katika makazi yao yaliyopo Zuzu nje Kidogo ya Mjini Dodoma June 17, 2017, kuhudhuria Misa ya kumbukumbu ya Marehemu Mzee Exavery Pinda Baba Mzazi wa Mizengo Pinda, Pamoja na kuongoza Uchangiaji wa Ujenzi wa Nyumba ya Paroko na Ukarabati wa Kanisa la Parokia ya ZUZU.
Waziri
Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda akiwaonyesha Wageni waalikwa (hawapo
pichani) Shilingi Milioni Kumi Mchango aliokabidhiwa na Waziri Mkuu
Kassimu Majaliwa kwa niaba ya Familia yake , Kwa ajili ya kuchangia
ujenzi wa Nyumba ya Paroko pamoja na kufanyia Ukarabati wa Kanisa
Parokia ya Zinje (ZUZU) Dodoma. Kushoto ni Msaidizi wa Askofu Jimbo
la Dodoma Baba Chesco Msaga . Harambe hiyo imefanyika June 17, 2017
katika Makazi ya Waziri Mkuu Mstaafu Pinda yaliyopo ZUZU Nnje
kidogo ya mjini Dodoma. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa kwa niaba ya familia yake akimkabidhi Mchango
wa Shilingi Milioni Kumi, Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda Kwa
ajili ya kuchangia ujenzi wa Nyumba ya Paroko pamoja na kufanyia
Ukarabati wa Kanisa Parokia ya ZUZU Dodoma. Kushoto ni Msaidizi wa
Askofu Jimbo la Dodoma Baba Chesco Msaga . Harambe hiyo imefanyika
June 17, 2017 katika Makazi ya Waziri Mkuu Mstaafu Pinda yaliyopo
ZUZU nje kidogo ya Mjini Dodoma.
No comments:
Post a Comment