Mjumbe
wa Serikali ya Mtaa wa Mpakani Magomeni Kagera kata ya Ndugumbi,
Shaaban Kawambwa akiwa amembeba mmoja wa watoto wakati akiwavusha kwenye
daraja la mpakani lilalounganisha eneo la Kagera Ndugumbi na Tandale
ambalo usalama wake ni mdogo kwa wavukaji hasa watoto wadogo, kama
alivyokutwa na kamera yetu leo Jijini Dar es salaam.
Mjumbe wa Mtaa huo akiendelea la zoezi hilo la kuwavusha watoto kama alivyokutwa na Kamera yetu leo.
Mmoja wa wakazi wa maeneo la Mpakani na Tandale akivuka kwenye daraja hilo kwa uangalifu na umakini mkubwa.
No comments:
Post a Comment