HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 28, 2017

WAKAZI WA KIANGA, WAISIKIA KWENYE BOMBA SIKUKUU YA EID

Shimo lililokua likichimbwa mchanga zamani likionekana kujaa maji machafu ambayo hutiririka kwenye kiwanja maalum cha kusherehekea sikukuu mbalimbalinkatika kijiji cha Kianga na kusababisha kushindwa kufanyika sherehe hizo.
Kiwanja cha mpira cha Kianga Mento ambacho wananchi wanakitumia kwa sherehe za Iddi kikiwa kimejaa maji yanayotiririka kutoka kwenye shimo lililopo pembezoni mwa uwanja huo na kupelekea kushindwa kufanyika sherehe hizo mwaka huu. Picha na Abdalla Omar, Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad