HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, June 24, 2017

SSRA yaadhimisha wiki ya utumishi wa umma kwa kitoa elimu kwa wadau

Mkurugenzi wa uhusiano na uhamasishaji Bi Sarah Kibonde Msika akiwasikisha maada ya hifadhi ya jamii wakati wa kikao  kwenye wiki ya utumishi wa umma kilichofanyika jana katika Ofisi za SSRA jijini Dar es Salaam.
Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) wamekutana na maafisa Habari wa serikali katika maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma ili kuwaongezea ujuzi ili kuongeza ufanisi kwenye kazi zao.
Baadhi ya maafisa Habari wa serikali pamoja na wadau mbalimbali wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) wakifuatilia mada wakati wa maadhimisho ya wiki ya utumishi.
                      Mkurugenzi wa uhusiano na uhamasishaji Bi Sarah Kibonde Msika (kushoto aliyekaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na maafisa Habari wa serikali pamoja na wadau mbalimbali wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA)  baada kumaliza semina ya wiki ya utumishi wa umma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad