Mkurugenzi wa uhusiano na uhamasishaji Bi Sarah Kibonde Msika akiwasikisha maada ya hifadhi ya jamii wakati wa kikao kwenye wiki ya utumishi wa umma kilichofanyika jana katika Ofisi za SSRA jijini Dar es Salaam.
Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) wamekutana na maafisa Habari wa serikali katika maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma ili kuwaongezea ujuzi ili kuongeza ufanisi kwenye kazi zao.
Baadhi ya maafisa Habari wa serikali pamoja na wadau mbalimbali wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) wakifuatilia mada wakati wa maadhimisho ya wiki ya utumishi.
No comments:
Post a Comment