HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 2, 2017

NHIF YAWANOA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI NCHINI, MJINI MOROGORO LEO

Katibu Tawala mkoa wa Morogoro, Clifford Tandari aliyesimama, akizungumza na wahariri na waandishi wa Habari katika warsha ya siku moja iliyoandaliwa na mfuko wa Bima ya Afya nchini, NHIF. Katika warsha hiyo, NHIF imepokea taarifa ya utafiti uliofanywa kwa ushirikiano na wanahabari kuangalia ubora/changamoto za utoaji wa bima ya afya nchini.
Kushoto kwake ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF Bernard Konga, Agnes Chaki, wa kwanza kushoto, na kulia kwake ni Mwenyekiti wa Jukwaa la wahariri Theophil Makunga na karibu wake, Nevil Meena. Picha na Karama Kenyunko, Globu ya Jamii.
⁠⁠⁠Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Bima ya Afya nchini, NHIF, Bernard Konga akiongea na wahariri na waandishi wa Habari wakati wa warsha ya siku moja ya kupokea taarifa ya utafiti juu ya kuangalia ubora/ changamoto za utoaji wa bima ya afya nchini
Mkurugenzi msaidizi Habari maelezo, (Habari) Rodney Thadeus akiongea kwa niaba ya Serikali juu ya huduma zinazofanywa na NHIF nchini wakati ya warsha hiyo.
Baadhi ya wahariri wa nyombo mbalimbali vya habari nchini wakifuatilia warsha ya siku moja ya wanahabari iliyofanyikoa mkoani Morogoro, wakati NHIF ikipokea taarifa ya utafiti uliofanywa na baadhi ya waandishi wa Habari kuangalia ubora/ changamoto za utoaji wa bima ya afya nchini.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia warsha hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad