Kaimu Mkurugenzi Idara ya ya Uongozaji ndege na Huduma(ANS), John Chambo akizungumza kwenye mkutano wa mwaka wa Idara ya Uongozaji ndege uliofanyika Mkoani Morogoro.
Wajumbe wakiwa kwenye mkutano wa mwaka wa Idara ya Uongozaji ndege na Huduma(ANS) wakifuatilia mkutano.
No comments:
Post a Comment