HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 23, 2017

MCHEZAJI WA KIKAPU ANAYEKIPIGA MAREKANI ATOA MAFUNZO KWA VIJANA NCHINI

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.

Mchezaji wa Mpira wa Kikapu wa Nchini Marekani wa ligi ya Chuo cha New Brunswick Alphaeus Kisusi  amedhamiria kuinua mchezo wa kikapu nchini kwa kuanza kuwafundisha vijana wa kuanzia miaka 12 katika viwanja vya  JMK PARK.

Kikusi aliweza kuondoka nchini mwaka 2012 na kwenda nchini Canada na kuendeleza kipaji chake cha mpira wa kikapu.

Kliniki  hiyo kwa vijana wa kike na kiume na itakuwa ni kwa siku tatu na inajulikana kama 'Shoes For Tanzania' ilianza jana na itamalizika kesho katika viwanja vya JMK Park.
Mchezaji wa Mpira wa Kikapu wa Nchini Marekani wa ligi ya Chuo cha New Brunswick Alphaeus Kisusi akiwa katika picha ya pamoja na vijana waliopo katika Kliniki ya mpira wa Kikapu inayoendelea katika viwanja vya JMK Park.\
Mchezaji wa Mpira wa Kikapu wa Nchini Marekani wa ligi ya Chuo cha New Brunswick Alphaeus Kisusi akitoa maelezo mbalimbali kwa vijana vijana waliopo katika Kliniki ya mpira wa Kikapu inayoendelea katika viwanja vya JMK Park.
Mchezaji wa Mpira wa Kikapu wa Nchini Marekani wa ligi ya Chuo cha New Brunswick Alphaeus Kisusi akitoa maelezo mbalimbali kwa vijana vijana waliopo katika Kliniki ya mpira wa Kikapu inayoendelea katika viwanja vya JMK Park.





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad