HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 22, 2017

ZUBERI SENZOTA NA BI. KHADIJA KHAMIS WAMEREMETA

 Bw. Harusi,Zuberi Senzota Msemo Na Bi.harusi Khadija Khamis Lyoba  wakiyarudi magoma wakati walipokuwa wakiingia ukumbini katika tafrija maalum ya kuwapongeza kwa kuungana kwao, iliyofanyika katika ukumbi wa Tausi uliopo Kiluvya mkoani Pwani.
 Bw. Harusi,Zuberi Senzota Msemo na Bi.harusi Khadija Khamis Lyoba Wakiwa katika pozi
  Bw. Harusi,Zuberi Senzota Msemo Na Bi.harusi Khadija Khamis Lyoba  wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Maharisi wakitoka  ukumbini.
















No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad