HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 8, 2017

YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA KUMI NA TISA MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MAY 8, 2017.

Spika  wa  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai  akiongoza  kikao cha kumi na Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 8, 2017.
Mbunge wa Viti Maalum(CHADEMA)  Mhe.Catherine Nyakao Ruge  akila kiapo cha uaminifu mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa katika  kikao cha kumi na Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 8, 2017.
Mbunge wa Viti Maalum Mhe.Mariam Kisangi(CCM) akiuliza swali katika  kikao cha kumi na Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 8, 2017.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais –TAMISEMI Mhe.Selemani  Jafo akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika  kikao cha kumi na Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 8, 2017.
Mbunge wa Viti Maalum Mhe.Angelina Malembeka (CCM) akiuliza swali katika  kikao cha kumi na Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 8, 2017.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Angelina Kairuki akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika  kikao cha kumi na Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 8, 2017.
Naibu Waziri Maliasili na Utalii Mhe.Eng Ramo Makani akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika  kikao cha kumi na Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 8, 2017.
Mbunge wa Viti Maalum(CHADEMA)  Mhe.Catherine Nyakao Ruge  akichangia mchango wake wa kwanza katika  kikao cha kumi na Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 8, 2017.
Naibu  Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Edwin Ngonyani   akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika  kikao cha kumi na Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 8, 2017.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Prof Palamagamba Kabudi akijibu hoja Mbalimbali za Wabunge  katika  kikao cha kumi na Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 8, 2017.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Harrison Mwakyembe akiwa na Naibu wake wakifuatilia hoja mbalimbali za wabunge katika  kikao cha kumi na Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 8, 2017.
Mbunge wa Mikumi(CHADEMA) Mhe.Joseph Haule akichangia hoja katika  kikao cha kumi na Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 8, 2017.



Picha Zote na Daudi Manongi- Dodoma MAELEZO, DODOMA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad