HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 17, 2017

WAZIRI MWAKYEMBE AZINDUA TAMASHA LA NGOMA ZA ASILI ZA JAMHURI YA KOREA.

 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza wakati wa ufunguzi wa  Tamasha la Ngoma za asili  za Jamhuri ya Korea   jana Jijini Dar es Salaam.

Balozi wa  Jamhuri  ya  Korea  hapa nchini Mhe. Song,Geum-young  akizungumza  na washiriki  wa Tamasha la Ngoma za asili  za nchi hiyo   (hawapo pichani)    jana Jijini Dar es Salaam.
 Wasanii  kutoka  Jamhuri ya  Korea wakionesha  moja ya ngoma za aslili za nchi hiyo wakati wa Tamasha la Ngoma za asili  za Jamhuri ya Korea  jana Jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya watazamaji kutoka Jamhuri  ya  Korea  na Tanzania wakifuatilia ngoma mbalimbali zilizokuwa zikioneshwa katika  Tamasha la Ngoma za asili  za Jamhuri ya Korea   jana Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (wa nne kulia waliosimama) akiwa katika picha ya pamoja na Wasanii wa ngoma za asili kutoka Jamhuri ya Korea  wakati wa ufunguzi wa  Tamasha la Ngoma za asili  za Jamhuri ya Korea   jana Jijini Dar es Salaam.
Picha na: Genofeva Matemu - WHUSM

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad