HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 31, 2017

NEEC NA TSN WASAINI MAKUBALIANO UHAMASISHAJI WA WANANCHI JUU YA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI

 Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC),Bi. Beng’I Issa kushoto na Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya TSN (Tanzania Standard Newspapers) Dk. Jim Yonazi kulia wakisaini makubaliano ya kufanya kazi pamoja ya uhamasishaji na uelimishaji wananchi juu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi. Kazi hiyo itaanza na kongamano  la uwezeshaji wananchi linalotarajia kufanyika mjini Dodoma Juni 10, 2017 ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.(Picha na Mwanadishiwetu, Dar es Salaam).
 Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uuwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC),Bi. Beng’I Issa kushoto na Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya TSN (Tanzania Standard News PaperS), Dk. Jim Yonazi kulia wakibadilishana nyaraka baada ya kusaini  makubaliano ya kufanya kazi pamoja ya uhamasishaji na uelimishaji wananchi  juu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi. Kazi hiyo itaanza na kongamano  la uwezeshaji wananchi linalotarajia kufanyika mjini Dodoma Juni 10, 2017 ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC),Bi. Beng’I Issa kushoto na Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya TSN (Tanzania Standard Newspapers), Dk. Jim Yonazi kulia (wote waliokaa) wakisaini makubaliano ya kufanya kazi pamoja ya uhamasishaji na uelimishaji wananchi juu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi. Kazi hiyo itaanza na kongamano  la uwezeshaji wananchi linalotarajia kufanyika mjini Dodoma Juni 10, 2017 ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na waliosimama kulia ni Meneja Mauzo na Masoko, Bw. Januarius Maganga na k

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad