HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 2, 2017

KAMERA YA YETU LEO MITAA YA KINONDONI

Kamera ya Globu ya Jamii imenasa Baadhi ya wakazi wa Kinondoni wakivuka dimbwi la maji machafu ya mvua kama yanavyoonekana pichani leo jijini Dar es Salaam.
Madereva Bodaboda wakikatiza katika dimbwi la maji machafu ya mvua kama yanavyoonekana pichani leo jijini Dar es Salaam.
Magari yakikatiza katika dimbwi la maji machafu ya mvua kama yanavyoonekana pichani leo jijini Dar es Salaam.

Picha zote na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad