HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 30, 2017

DC GONDWE APOKEA MSAADA WA TAIRI 14 ZA MAGARI KUTOKA BINSLUM

Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe (kushoto) akipokea sehemu ya msaada wa matairi 14, kutoka kwa Muwakilishi wa Kampuni ya Binslum, Iddi Moshi "Mnyamwezi" yaliyotolewa kwa ajili ya magari ya Halmashauri ili kufanikisha shughuli mbalimbali za maendeleo katika Wilaya hiyo ya Handeni. Makabidhiano hayo yalifanyika hivi karibuni kwenye Duka la Matairi la Kampuni ya Binslum, Sikota, Temeke jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad