Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe (kushoto) akipokea sehemu ya msaada wa matairi 14, kutoka kwa Muwakilishi wa Kampuni ya Binslum, Iddi Moshi "Mnyamwezi" yaliyotolewa kwa ajili ya magari ya Halmashauri ili kufanikisha shughuli mbalimbali za maendeleo katika Wilaya hiyo ya Handeni. Makabidhiano hayo yalifanyika hivi karibuni kwenye Duka la Matairi la Kampuni ya Binslum, Sikota, Temeke jijini Dar es salaam.
Tuesday, May 30, 2017
DC GONDWE APOKEA MSAADA WA TAIRI 14 ZA MAGARI KUTOKA BINSLUM
Tags
# HABARI
# HABARI MCHANGANYIKO
HABARI MCHANGANYIKO
Labels:
HABARI,
HABARI MCHANGANYIKO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment