HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 5, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AZUNGUMZA NA MAWAKALA WA PEMBEJEO ZA KILIMO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mawakala wa pembejeo za kilimo kwenye ukumbi wa Spika, bungeni mjini Dodoma Aprili 5, 2017. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji na wapili kulia kwake ni Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvu Tete Ole-Nasha. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad