Baada ya kufanikiwa kuvuruga mkutano huo baadhi ya watu waliokuja kufanya vurugu wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa kundi moja wapo walikimbia na wengine kudhibitiwa na wananchi wenye hasira. haikufahamika kwa haraka sababu za watu hao kuvamia na kuuzuia mkutano huo.
Timbwili likiendelea na kupelekea bwana huyu kushoto akichezeshewa kichapo.
mara uzalendo ukamshinda akasalimu amri na kukaa chini baada ya kudhibitiwa na wananchi.
Mtu huyo anaedaiwa kutoka kambi nyingine ya Chama hicho akiugulia maumivu baada ya kuumia katika mtafaruku huo.
Mambo yalivyoanza kabla ya mpambano kuanza.
No comments:
Post a Comment