HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 6, 2017

RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA BALOZI WA UMOJA WA ULAYA MHE ROELAND VAN DE GEER LEO IKULU DAR ES SALAAM

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimlaki balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Mhe. Roeland Van de Geer alipokutana naye Ikulu jijini Dar es salaam leo April 6, 2017.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na  balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Mhe. Roeland Van de Geer alipokutana naye Ikulu jijini Dar es salaam leo April 6, 2017.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiagana na  balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Mhe. Roeland Van de Geer  baada ya kukutana naye kwa mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo April 6, 2017.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipata picha ya kumbukumbu na  balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Mhe. Roeland Van de Geer alipokutana naye kwa mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo April 6, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiagana na  balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Mhe. Roeland Van de Geer  baada ya kukutana naye kwa mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo April 6, 2017.

PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad