HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 24, 2017

MATUKIO KATIKA PICHA: KIKAO CHA 11 MKUTANO WA SABA WA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO APRIL 24, 2017

Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu akiongoza kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. George Simbachawene akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017.
Naibu Waziri wa Ujenzi uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Nyonyani akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. 
Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Hamis Kigwangalla akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. 
Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Ole Nasha akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. 
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. 
Mbunge wa Viti Maalum Morogoro (CCM) Mhe Dkt Christina Ishengoma akiuliza swali katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. 
Mbunge wa Songwe (CCM) Mhe. Philipo Augustino Mulogo akiuliza swali katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. 
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akijadiliana jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. George Simbachawene akijadiliana jambo na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. George Simbachawene akijadiliana jambo na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017.
Mbunge wa Kilindi (CCM) Mhe Omari Mohamed Kigua akiuliza swali katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. 
Wabunge wakifuatilia hoja mbalimbali katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. 
Baadhi ya wazee walioshiriki katika kuchanganya mchanga wakati wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wakifuatilia shughuli za Bunge katika katika kikao cha kumi na moja cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 24, 2017. Picha na Raymond Mushumbusi, Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad