HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 11, 2017

MATOKEO YA LIGI YA KIKAPU MKOA WA DSM


Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
Matokeo ya michezo ya mpira wa kikapu iliyochezwa wikiendi hii ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam RBA Wiki  ya tisa.

 7/4/2017

Jogoo 75/61 Chui

Jkt 74/79 Kurasini heat

Pazi 58/54 Ukonga k.

Trh 8/4/2017

Chui 62/69 Youngstars 

Magnet 60/88 Jogoo 

Mgulani 44/68 Mabibo

Abc 83/50 Outsiders 

Jkt 72/49 Ukonga k.

Trh 9/4/2017

Mgulani 47/52 Chui

Michezo mingine haikuchezwa kwa sababu ya mvua pamoja na kukatia kwa umeme.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad