HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 27, 2017

KIKOSI KAZI CHA KUNUSURU IKOLOJIA YA MTO RUAHA CHATEMBELEA BONDE LA IHEFU

 Wajumbe wa Kikosi kazi wakiwa ndani ya boti katikakti ya bonde la Ihefu wakiakagua ikolojia ya bonde hilo. Kuanzia kulia ni Mkurugenzi Tume ya Umwagiliaji Injinia Seth Lusweme, Mkurugenzi Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Richard Muyungi na Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji Idris Msuya.
 Afisa Mkuu toka TANAPA Kanda ya Arusha Vitalis Uruki akiongea na Wanahabari mara baada ya ziara ya kikosi kazi katika bonde la Ihefu katika Wilaya ya Mbalari Mkoani Mbeya.
 Wajumbe wa Kikosi cha Kitaifa cha kunusuru ikolojia ya Mto Ruaha (kikundi namba 2) wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakisubiri kupanda boti ya upepo ili kutembelea eneo la bonde la Ihefu lililoko Mbalari- Mkoani Mbeya kugagua ikolojia ya Bonde hilo.

Picha ikionyesha hali ya ikolojia katika bonde la Ihefu inavyoonekana kwa sasa

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad