HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 10, 2017

IGP MANGU AKABIDHIWA KOMBE LA UBINGWA WA MICHEZO YA MAJESHI

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akikabidhiwa kombe na Kamishna wa Polisi Jamii Mussa Ali Mussa baada ya timu ya mpira wa miguu ya Polisi Tanzania kuchukua ubingwa katika Michezo ya Majeshi iliyomalizika hivi karibuni Visiwani Zanzibar (Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad