HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 2, 2017

Waziri Mahiga akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Arkadia Ltd

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya ARKADIA Ltd. Dr. Ezio Copat walipokutana kwa mazungumzo ofisini kwake mjini Dodoma.
Waziri Mhe. Balozi Dkt. Mahiga akimsikiliza Dr. Copat walipokutana kwa mazungumzo mjini Dodoma 
Waziri Mhe. Balozi Dkt. Mahiga akifafanua jambo wakati wa mazungumzo 
Mazungumzo yakiendelea 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad