HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 3, 2017

VIONGOZI WAKUU CHADEMA WAKIWA MAHAMANI LEO

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe ( wa pili kutoka kulia) akiwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Taifa, Dkt. Vincent Mashinji ( Wa kwanza kulia), Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Edward Lowassa (Wa pili kushoto) na Waziri Mkuu Msaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Federick Sumaye wakiwa ndani ya Mahakama Kuu jijini Arusha, Leo Ijumaa 03/03/2017 ambapo kesi ya Mbunge wa Arusha, Mhe. Godbless Lema kuhusu dhamana yake.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad