HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 17, 2017

TAASISI YA USAMBARA DEVELOPMENT INITIATIVE (UDI) YACHANGIA MAENDELEO WILAYANI LUSHOTO

 Wanafunzi wa shule ya secondari ya Viti kata ya Shume wilayani Lushoto wakipokea mifuko ya saruji yenye thamani ya shilingi laki tano kwa ajili ya ujenzi wa choo kutoka kwa taasisi ya USAMBARA DEVELOPMENT INITIATIVE (UDI) ikiwa ni katika kuchangia juhudi za Mh. Mbunge wa Mlalo Mh. Rashid Shangazi za kuleta maendeleo jimboni hapo.
 Diwani wa kata ya Vuga wilayani Lushoto Mh. Dhahabu Jumaa akipokea miche ya miti kutoka kwa taasisi ya USAMBARA DEVELOPMENT INITIATIVE, ikiwa ni juhudi za kuendeleza na kutunza mazingira wilayani Lushoto, pichani anayekabidhi ni katibu Mkuu wa UDI Dickson Shekivuli na naibu katibu Mkuu Frank Shempemba
Diwani wa kata ya Vuga wilayani Lushoto, Dhahabu Ijumaa akipokea dawa kutoka kwa taasisi ya USAMBARA DEVELOPMENT INITIATIVE (UDI) kwa ajili ya zahanati ya vuga.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad