HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 15, 2017

RAIS DKT MAGUFULI AENDESHA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU YA CHAMWINO, DODOMA, LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kwenye ukumbi wa mikutano katika Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma leo Machi 15, 2017.

PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad