HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, March 4, 2017

NSSF Yaendesha Kampeni ya Wakulima ili Kuwapa Huduma ya Hifadhi ya Jamii


Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Omary Mziya akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mpango wa Uwezeshaji Masoko, Mtaji na Hifadhi ya Jamii katika Hafla ya ufunguzi iliyofanyika mkoani Manyara.

Meneja wa NSSF Mkoa wa Manyara, Alexander Joseph akizungumza wakati wa Semina ya Uwezaeshaji Masomo, Mtaji na Hifadhi ya Jamii mkoani Manyara Wilaya ya Mbulu. Kushoto ni Meneja wa NSSF Mkoa wa Dodoma, Rehema Chuma na kulia ni Meneja wa Kanda wa Bodi ya Nataka na Mazao Mchanganyiko (CPB).

Meneja wa NSSF Mkoa wa Dodoma, Rehema Chuma, akizungumza katika Semina ya Uwezaeshaji Masomo, Mtaji na Hifadhi ya Jamii iliyofanyika Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara.

Semina ikiendelea.

Picha ya pamoja mkoani Manyara Wilaya ya Babati.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad